Subscribe:

Ads 468x60px

March 03, 2011

Fashion Tips

Unapozungumzia fashion, uanaamanisha mtindo uliopo kwa kifupi tu. Yaani mtindo na matendo ambayo yanayovuma kwenye jamii kwa kipindi kilichopo ambapo inaweza kuwa kwenye mavazi na hata viatu. Wengi wanadescribe fashion kama fanciness na kuwa tofauti kidogo.

Kihistoria, asili ya fashion au mitindo ina asili ya Ulaya magharibi kwenye nchi kama Ujerumani, Italia na hata Ufaransa, hasa kwenye kipindi cha karne ya 14 ambapo tunawazungumzia wabunifu wa mavazi kama Marie Antoinette, James Lauver na Fernand Braudel.

Fashion Industry ilianza kushika hatamu kuanzia karne ya 19 na 20 kutokana na mapinduzi ya viwanda na uwepeo wa zana nyingi za ubunifu kama mashine na n.k.


Kwa Tanzania, Mitindo bado haijavuma sana kutokana na kukosekana muamko. Shukrani sana kwa wabunifu maarufu hapa nchini, Ally Remtullah, Mustafa Hassanali na Khadija Mwanamboka katika jitihada zao za kuiweka fashion kwenye ramani ya Tanzania. Stay tuned kwa more fashion news kupitia hapahapa Fashion tips. Coming Soon.

0 comments:

Post a Comment

Page viewers