Subscribe:

Ads 468x60px

February 25, 2011

Exclusive Interview na Gosberth Gosby Kibanza.

 
rokBrothers : Aje Bro!?

Gosby: Freshi tu ni vp!

rokBrothers: Pwax! Wel, wengi wanakufahamu kwa jina lako la kisanii la Gosby,                          
                        tungependa kufahamu jina lako halisi.

Gosby: Mh jina langu kamili ni Gosberth Kibanza.

rokBrothers: Owkay, kuhusu background ya elimu yako labda, bado unapiga
                       kisomo?

Gosby: Yap! Napiga I.I.T (Institute for Information Technology) now bt before, Nilipiga St. Anthony O.Level kisha nikapiga A.Level pande za Shaaban Robert.

rokBrothers: Iko poa sana! Tuzungumzie shughuli zako za muziki, project yoyote
                       hivi sasa?

Gosby: Ndiyo, kwa sasa naanda mixtape yangu ya pili inayoitwa Scarface ambayo
             Nadhani itakuwa out next month coz bado mixing tu.

rokBrothers: Oh! So ina maana ulishatoa mixtape before? Any album?

Gosby: Yah, nilishatoa mixtape kabla ya hii na ilikua inaitwa Tumia Pesa Ikuzoee
              Lakini sijatoa album hata moja!

rokBrothers: Anhaa! Project nyingine?

Gosby: Currently working on my new video inaitwa Mabegi Bila Nauli,
             Niliyowashirikisha Godzilla na Young D. Na itakua out soon
             Watu wakae attention.

rokBrothers: Njema pia. About doing music, kwanini unafanya muziki?

Gosby: Dah! Labda nikupe jibu moja tu kwamba napenda kuimba! Dats it.

rokBrothers: Owkay, kuna watu wanaokusupport kwa karibu kwenye muziki wako
                       unaofanya?

Gosby: Yeah, nawashukuru sana wazazi wangu coz wananipa support
             Kubwa sana bila kuwasahau wadau wangu wengine na mafans.

rokBrothers: Mh! Labda swali la kizushi Gos, tunaona wasanii wengi wanahit kwa
                       track za kutungiwa, yani wanaandikiwa. Vp kwako, ni the same?

Gosby: Ah! Hapana! Mi situngiwi wala kuandikiwa na mtu yoyote. Natunga na kuandika
            Mwenyewe.

rokBrothers: Ipo njema hiyo bro. kabla hatujaachana maybe kuna watu wowote 
                       wanokuinspire kwenye muziki wako?

Gosby: Yap. Kwa hapa bongo Hasheem ananiispire sana na nje, wel. Lil’ Wayne na
            Common in particular.

rokBrothers: Poa brother, ilikuwa poa sana kuongea nawe! Kila la kheri kwenye
                       kazi zako za kimuziki bro.

Gosby: Shukrani nawe pia kaka! Kazi njema.

0 comments:

Post a Comment

Page viewers