Subscribe:

Ads 468x60px

May 25, 2011

Air Jordan III Retro True Blue


The Jordan Brand is once again getting back to the classics. For sneaker heads the ‘True Blue’ Air Jordan III has always been one of the most coveted. Whether you “rock um or stock um” these are a must have for your kick collection. Jordan Brand is bringing them back to the market on June 4, 2011. So grab your pair for $150 USD at various stores across the US.

May 11, 2011

Swizz Beatz x Reebok Classics


Swizz Beatz was recently announced as Creative Director of the Reebok Classics brand and will be influencing all aspects of the line, including creative campaigns and product. The first release from this new lineup is the Limited Edition Kamikaze, set to drop on Friday, May 13 in a run of 84 pairs. Additional drops are slated to make their way come July 2011. Each pair of this special run will come numbered 1 to 84, personally signed by Swizz Beatz.

May 05, 2011

Shetta ft Belle 9-Nimechokwa Lyrics


Intro
DAR STAMINA BABY (ooh ooh owooo..)
Mazoea yanatabu lakini yana mwisho wake,
Mateso niliyompa yamefuta machozi yake *2

Chorus
Kweli ya leo sio ya jana onaaaaaaaaaaaaa,
A to Z maumivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Kweli ya leo sio ya jana onaaaaaaaaaaaaaa, (onaaaaaaaaa)
A TO Z maumivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Inaniuma inanichoma inanichochochoma,
Inaniuma inanichoma inanichochochoma,
Inaniuma inanichsoma inanichochochoma,
Inanichochoma mazoeaaaaaaaaaaaaaaaaa. *2

Verse 1
Sura yako inanipa picha kamili,
Bila ya vitendo tayari nimeshaitabiri,
Umekua mjasiri tena bonge la msiri,
Hata kwenye tabu hutaki tusolve wawili.

Aifanani na kiburi bali umechokwa na mimi,
Sijiulizi kwanini umalaya nimeufanya dini,
Hata mashoga zako nawinda niwavue bikini,
Mi mkauzu kama mbuzi tena mchinjia baharini.

Makosa yanajirudi na yote unayabaini,
Ushahidi mpaka sibishi jinsi ulivyo makini,
Machale mpaka nadought au unaongozwa na jini?
Mana unamkamata mwizi kabla ya cku arobaini.

Mmoja poa tu kwako si mali kitu,
Kama ngoma ni local mithili ya mchiliku,
Mpaka nahisi mafala washanipiku,
Mkuki kwa binadamu zaidi ya uchungu wa jipu.

Umekua mvivu wa kutimba mahome,
Hata kwenye sex unanigomea ku,
Drama kama filamu?
Mpaka kwenye couple kutesa kwa zam zam meeeeeeeeeeeeen!

Chorus
Kweli ya leo sio ya jana onaaaaaaaaaaaaa,
A to Z maumivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Kweli ya leo sio ya jana onaaaaaaaaaaaaaa ,(onaaaaaaaaa)
A TO Z maumivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Inaniuma inanichoma inanichochochoma,
Inaniuma inanichoma inanichochochoma,
Inaniuma inanichsoma inanichochochoma,
Inanichochoma mazoeaaaaaaaaaaaaaaaaa *2

Verse 2
Unasema nawapanga vigoli kama mswati,
Umalaya upo ndani ya damu kamwe siachi,
Please ebu nipe nafasi tudescuss,
Mapenzi ayahitaji kulipiziana visasi.

Mwepesi kunijibu hautaki,
Route zimezidi kama dereva tax,
Day after day unazidisha masharti,
Hata kiss la shavu hautaki mbele ya umati.

Natapatapa bila hata ya kukabwa koo,
Kisasi zidi ya uchokozi si punde utanitoa roho,
Seke seke unazonipa ni zaidi ya ngoma droo,
Maumivu yanafanana na hukumu ya death low.

Marumbano vita kama cuf na ccm duh!
Umenichoka mpaka nahisi npo kuzimu,
Sometime ni shetani so haina budi tumrehemu,
Lets forget about past please usinitoe damu baby!

You gat true love mpaka najiona kavu,
Nipo tayari kutubu na msahaafu,
Ruksa nikirudia unibanike kama ndafu,
Yeahhhhhhhhhh dats watsup!

Chorus
Kweli ya leo sio ya jana onaaaaaaaaaaaaa,
A to Z maumivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Kweli ya leo sio ya jana onaaaaaaaaaaaaaa, (onaaaaaaaaa)
A TO Z maumivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Inaniuma inanichoma inanichochochoma,
Inaniuma inanichoma inanichochochoma,
Inaniuma inanichsoma inanichochochoma,
Inanichochoma mazoeaaaaaaaaaaaaaaaaa.

May 01, 2011

Fid Q-Propaganda Lyrics



Verse1
Machungu unapozimwa,ili ufunikwe na asiyeweza
Mbaya zaidi wanampa Promo halafu kwenye Show unammeza
hautaki kuwa tatizo sababu unaweza tatuka
hauwezi jua wapi nitatua ka Jiwe gizani likitupwa
wanaficha ili nisione wakati tayari nishajua/hamkomi? 
igeni nione jinsi msamba mnaupasua
hivi mnaishi ili mle au mnakula ili muishi?
kumbuka a small leak will sink a ship
mazingira hatarishi, Mabwana afya wanamaPesa Mob
uswazi tunaomba mvua zinyeshe ili tutapishe vyoo
ogopa kuoa haraka kama unaogopa talaka
na ukivote in a hurry ujue unaproduce corruption
maneno yao ni matamu lakini midomo yao inanuka
ukipewa usisahau,ukitoa TOA bila kukumbuka
usihofie kupitwa ilimradi muda haukuachi
amini kesho itafika kama ipo ili uipate
tunachukiana kwasababu tunaogopana
tunaogopana kwa sababu hatujajuana
hatujuani kwasababu tunatengana
dunia ni nzuri.. walimwengu hawana maana

Chorus
Polisi wanasapoti Gangsta Rap ''ili uhalifu uongezeke''
Wabana pua kuimba mapenzi ''je itafanya ukimwi usepe''
Media zinapromoti beef ''wanadai zinakuza mziki''
Wadau wana wasanii wabovu ''nyie wakali mtatoka vipi?''
hizi ni PROPAGANDA.. usiulize ni nani?ni yupi?
saa ngapi?ilikuaje?na nani?ili iweje?
hizi ni PROPAGANDA.. utaibiwa ukicheza blanda
yule last King of Scotland sio IDD AMIN wa Uganda

Verse2
Polisi huniita Mzururaji na wanajua mie ni MC
Kisha hunipa ishara kama wanavuta uradi kwa Tasbih
Baya lisilo nidhuru ni Jema liso na faida
nashukuru kote nasikika napotoa haya mawaidha
kuanzia Kata,Tarafa,Wilaya,Mikoa hadi Ngazi ya Taifa
nikifa siachi Skendo, ninauhakika nitaacha Pengo
kwa hivi vina hata Wakulima hujikuta wanameza Mbegu
pia ni kama Liberation struggle machoni mwa Chegu
ukiwa mkali ka Marco Chali.. raia watafeel tu
wajinga ndo hufa kwa wivu sababu hawako real tu
rafiki sio urafiki usipochanganywa na Kazi
Mlango sio mlango hadi ufungwe au uachwe wazi
haupaswi kumuamini Muongo hata kama akiongea Ukweli
ni Dhambi kutumia Dini kama njia ya kututapeli
wanajiingizia kipato kwa kimvuli cha misaada
hawatufunzi tuwe Viongozi labda Viongozi wakuwafata
utata huja, tunapoanza kuwachunguza
badala ya kuwafata ndipo Siri zinapovuja
tunajenga tabia kisha tabia zinatujenga
ukishindwa kujiendesha ujue mwenyewe tu ulipenda
kama umevutiwa na Asali, jiandae kumkwepa Nyuki
hauwezi kumtisha kwa Mawe Adui aliyeshika Bunduki
ni uchunguzi tu wa Kisayansi ambao haukufanikiwa
kama ule wa Ng'ombe kula Nyasi tu halafu anatoa Maziwa

Chorus
Polisi wanasapoti Gangsta Rap ''ili uhalifu uongezeke''
Wabana pua kuimba mapenzi ''je itafanya ukimwi usepe''
Media zinapromoti beef ''wanadai zinakuza mziki''
Wadau wana wasanii wabovu ''nyie wakali mtatoka vipi?''
hizi ni PROPAGANDA.. usiulize ni nani?ni yupi?
saa ngapi?ilikuaje?na nani?ili iweje?
hizi ni PROPAGANDA.. utaibiwa ukicheza blanda
yule last King of Scotland sio IDD AMIN wa Uganda

Page viewers